Kontakti peji ina mapungufu mzee; nimekimbilia Contact Us nikupigie simu nakutana na form!! sisemi usiweke form lakini contacts page inatakiwa ikidhi mahitaji tofauti; simu, email ambayo umeweka; lifax kama lipo; google map yaani manjia yoteWadau napenda kuwatangazia kuwa Sasa bei zetu ni karibu na bure kabisa, na hii ni kwa ajili ya msimamu huu wa sikuu.Huduma zetu ni kama ifuatavyo
1. Website designing
2.Forums and Ecommerce systems 3.HR and Hospital Management system
4.Customer and user Databases
5.Bulk SMS system with IPA integration
6 . domain Registration and Hosting.
7.Applications with free playstore publication.
8.Responsive blog + free Domain integration
Namengine mengi, Kwa mawasiliano tucheki 0687535650
Mwe! Kama wabunge wa nanihii vile. Makosoo kibao halafu naunga mkono hoja 😉Otherwise good work chief kazi nzuri;
ThanxKontakti peji ina mapungufu mzee; nimekimbilia Contact Us nikupigie simu nakutana na form!! sisemi usiweke form lakini contacts page inatakiwa ikidhi mahitaji tofauti; simu, email ambayo umeweka; lifax kama lipo; google map yaani manjia yote
On serious note: ongeza mobile na google map.
Yes mkuu Kwa makampuni ya kifedha ya hapa bongo ni ngumu Sana kukupa access ya online payment(yaani online money transactions) ndo maana watu wanalia sana na PayPal, kwasababu inakuruhusu kulipa online ila uruhusiwi kulipwa online.Kwenye site yako fanyia kazi payment mzee; button ya purchase umeiweka kufurahisha umma tu, haifanyi kazi, halafu kwa mazingira ya tanzania; matigopesa na mampesa ndio manjia ya malipo kwa wengi mzee; hayo makadi uliyoyaweka chini yatoe au fanya yafanye kazi.
APP Bei gani?Wadau napenda kuwatangazia kuwa Sasa bei zetu ni karibu na bure kabisa, na hii ni kwa ajili ya msimamu huu wa sikuu.Huduma zetu ni kama ifuatavyo
1. Website designing
2.Forums and Ecommerce systems 3.HR and Hospital Management system
4.Customer and user Databases
5.Bulk SMS system with IPA integration
6 . domain Registration and Hosting.
7.Applications with free playstore publication.
8.Responsive blog + free Domain integration
Namengine mengi, Kwa mawasiliano tucheki 0687535650
OkayKama ya blog ni 50000 tu
mkuu naomba sample ya apps ulizotengeneza.Kama ya blog ni 50000 tu
Naomba nieleze vizuri unataka software ikufanyie nini? Nipe Maelezo kidogo mkuu