Du watu wengine kusema ukweli wanashangaza sana, how come hujatuma hata maombi unakuja hapa kuomba ushauri.Ushauri bomba ni ule wa kusema jamani nimeitwa kwenye interview na watu wa off grid electric company.Tafadhari mwenye uzoefu na kampuni hiii anijuze.Sasa wewe ndugu unaomba ushauri hata CV yenyewe hujawahi kutuma.Dont think eti job iko easy like yoo think