Ofa ya Ramadhani: Mabati na Mbao

Ofa ya Ramadhani: Mabati na Mbao

agripa robart

Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
25
Reaction score
13
OFA YA MWEZI RAMADHANI.
Piga 0674 344 436.

Jipatie Mbao za kupaua zenye dawa Kwa Bei poa ya punguzo la 15% na kupata usafiri Bure mpaka sait.

Pia Utapata mabati imara ya rangi (msauzi) Kwa Bei poa ya punguzo la 10% toka kiwandani.

Wahi sasa ofa hii ni ya muda mfupi njoo ujipatie bidhaa bora Kwa Bei za kizalendo.

Tunapatikana Buguruni Chama Dar ES salaam.

Piga simu 0674 344 436

IMG_20200427_145646_273.jpeg
Screenshot_20200427-181433.jpeg
Screenshot_20200420-130539.jpeg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zinapatikana karibu sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtu anakuuliza zinauzwaje unamwambia zinapatikana karibu.

Tayari anajua kuwa zinapatikana ndio mana akasema anahitaji, laa sivyo angeuliza je zinapatikana ndio ulitakiwa kujibu hivyo ulivyojibu lakini mtu kakuuliza mnauzaje halafu jibu unalompa ni tofauti na alichouliza.

Watanzania amkeni kibiashara aisee, bado ukija hapa utamwambia njoo PM au Whatsapp umpe bei, changamkeni aisee. Daaah...!
 
Mtu anakuuliza zinauzwaje unamwambia zinapatikana karibu.

Tayari anajua kuwa zinapatikana ndio mana akasema anahitaji, laa sivyo angeuliza je zinapatikana ndio ulitakiwa kujibu hivyo ulivyojibu lakini mtu kakuuliza mnauzaje halafu jibu unalompa ni tofauti na alichouliza.

Watanzania amkeni kibiashara aisee, bado ukija hapa utamwambia njoo PM au Whatsapp umpe bei, changamkeni aisee. Daaah...!
Sorry sikukuelewa mkuu sikuona hiyo zinauzwaje.
Za futi 12 ni sh 12000 kwa pc
Na za futi 20 sh 1150 kwa futi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry sikukuelewa mkuu sikuona hiyo zinauzwaje.
Za futi 12 ni sh 12000 kwa pc
Na za futi 20 sh 1150 kwa futi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa, ila kwa ushauri tu ambao utaweza kukusaidia hasa kwa wadau wa hapa JamiiForums nakushauri ukae chini uweke bei zako na vipimo vya kila kitu unachouza kila kimoja na bei yake ukiweza na picha kunogesha tangazo sawa usipoweza pia sio mbaya. Ila weka bei kwa kila bidhaa uliyonayo.

Na kama kuna discount mtu akichukua mzigo kuanzia kiasi flani pia weka, kama hapo umeweka kuna punguzo la asilimia 15 lakini hiyo asilimia 15 mtu anaijuaje wakati hujaweka bei elekez/halisi, au hata kama kuna upatikanaji wa usafiri kama mtu atachukua pieces kadhaa au kama hamtoi usafiri unaweza kusema tu hapo nje usafiri unapatikanaje kwa anayeenda sehemu, mfano mtu akikuuliza naenda ubungo au mwenge usafiri utagharimu kiasi gani, unaweza ukaongea na dereva hapo nje ukampa mtu full details, yaani jaribu kuiweka biashara yako pasina maswali ya zaida ambayo ni ulazima mtu kufahamu utaona utofauti kiongozi.

Usisubiri kila kitu uulizwe au mtu aje PM au Whatsapp mwengine hana time hiyo rahisisha mambo utakuwa umejirahisishia mwenyewe kiongozi. JI-BRAND MKUU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom