mshana jr atakuja tu, hiyo biashara imenikumbusha Zimbabwe, kuna paster mmoja alisema kila mwenye biashara ambayo inayumba basi atoke mbele ili aombewe biashara yake iende vizuri, muuza majeneza akawa wa kwanza kusimama na kusema biashasharq zake zinayumba, waumini waliwaacha wawili tu, paster na muuza majeneza