vivianlyimo_teamoriflame
Member
- Mar 10, 2017
- 91
- 53
Usisahau OFA bado inaendelea kutoka kwangu kuja kwako mteja wangu. Ni punguzo la bei kwa 30% kwa bidhaa yeyote ya Oriflame uipendayo.
OFA ITAISHA tarehe 5/6/2017...
Kumbuka Oriflame ni kampuni inayotengeneza bidhaa mbalimbali za ngozi, urembo na marashi (perfumes) za kike na za kiume, bidhaa za nywele na bidhaa za wanawake.
Bidhaa hizi zote zimetengenezwa kwa kutumia marighafi asilia. Na kwa aliyetumia chemicals au cream (viambata sumu) na anahitaji kuwa na ngozi yake asilia tena asisite kuwasiliana na mimi. Bidhaa zipo za kuisaidia ngozi yako.
Tuwasiliane ukihitaji na me nitakuuzia popote pale Tanzania nitakufikishia.
[HASHTAG]#teamOriflame0672416294[/HASHTAG]