MwanaSaikolojia
Senior Member
- Jan 9, 2015
- 197
- 62
Ipo katika hali nzur na inakaa chaji.. ina ufa kwenye kioo tu ila inagonga kazi zote fresh. Picha yake hii hapa
Napatikana Daresalaam
Napatikana Daresalaam
chukua 80000/=
Hello je inatumia line?
Hiyo inatumia line mkuu[/QUO
Ok, kuna 130,000 cash napatikana mwenge
Mkuu umeshaiuza au bado?
Op p1.
Siku nyngne jitahidi kuleta mrejesho,ktk matangazo ya uuzaji.
Hiyo ndoo inakaa vzuri ili kupngza mention zisizo htajika.