Odinga hayupo Tanzania kama ilivyoripotiwa na DW

Odinga hayupo Tanzania kama ilivyoripotiwa na DW

OX11R1

Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
29
Reaction score
25
Radio DW katika matangazo yake leo 1-2-2017 mchana, ilitangaza kuwa Raila Odinga yupo Tanzania kwa mapumziko. Hii si ukweli. Raila yupo Kenya.

Hiyo taarifa ya DW ilikuwa Fake News.

Hivi sasa (wakati na create hii thread), Odinga anahutubia waandishi wa habari jijini Nairobi.
 
Radio DW katika matangazo yake leo 1-2-2017 mchana,ilitangaza kuwa Raila Odinga yupo Tanzania kwa mapumziko.Hii si ukweli.Raila yupo Kenya.Hiyo taarifa ya DW ilikuwa Fake News.
Hivi sasa(wakati na create hii thread), Odinga anahutubia waandishi wa habari jijini Nairobi.
Mkuu kwenda Kenya kwa Ndege ni masaa machache sana na Odinga hatumii Bus LA Kisbo wala Ngorika yy anatumia ndege.
 
Radio DW katika matangazo yake leo 1-2-2017 mchana,ilitangaza kuwa Raila Odinga yupo Tanzania kwa mapumziko.Hii si ukweli.Raila yupo Kenya.Hiyo taarifa ya DW ilikuwa Fake News.
Hivi sasa(wakati na create hii thread), Odinga anahutubia waandishi wa habari jijini Nairobi.
Huenda akawa hayupo Tanzania kwa saaa lakini alikuwepo, km anahutubia Kenya basi atakuwa amerudi asubuhi ya leo
 
Kwani umbali wa kenya na tanzania ni kilometer ngapi? anaweza kutumia usafiri wa anga,nairobi to dar ni kama dakika 60--70 kwa ndege.Yawezekana amepata lunch yake dar,alafu akageuza nairobi.
 
True. Lakini taarifa ya DW ilisema yumo Tanzania kwa mapumziko.Uzito wa taarifa hii pia ilifanya ionekane ni kama kwamba Odinga ilikimbia nchi yake baada ya kujiapisha.
Mkuu hadi hapo DW hawana walichokosea, odinga kuonekana Kenya haimaanishi hayupo tz. Taarifa sasa ya kuipinga hii ya DW ilikuw ni kwa yeye mwenyewe kuikana. Sasa usitake kusafisha nyumba chafu kwa kuleta maji ya bahari
 
Hili tatizo la afya ya akili kwakweli ni mateso makubwa.Hivi kutoka Tz hadi Kenya kwa ndege ni Masaa mangapi?
 
Hili tatizo la afya ya akili kwakweli ni mateso makubwa.Hivi kutoka Tz hadi Kenya kwa ndege ni Masaa mangapi?
Kwahiyo hayo mapumziko waliyosema hao DW yalikuwa ya dakika kama yale ya mwenye mechi ya soka au? Hata kama walitutawala, tupunguze kidogo kuwaabudu hawa watu. Nao huwa wanadanganya tu kama sisi.
 
alikuwepo .. paspoti yake ilisoma aliingia Bongoland
 
Mkuu kwenda Kenya kwa Ndege ni masaa machache sana na Odinga hatumii Bus LA Kisbo wala Ngorika yy anatumia ndege.
Kweli mkuu na kama alikuwa Arusha basi alikuwa jiran zaid na Nairobi kuliko hats Mbeya.
 
Ni kweli nimeiona hiyo hotuba yake, Sikutegemea Chombo kikubwa kama DW kuwa na habari, ya kubuni.
Chombo cha kijinga sana Raila sio muoga wa kukimbia nchi yake hana wa kuogopa mtu mwema hawezi ogopa muharifu
 
Back
Top Bottom