October 29 ni sikukuu mpya ya Halloween kwa Tanzania

October 29 ni sikukuu mpya ya Halloween kwa Tanzania

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
3,621
Reaction score
6,511
Sitakwenda kwa undani sana kwenye sikukuu hii ya Halloween na asili yake, hilo unaweza kugoogle. Kawaida huko duniani, sikukuu hii husherehekewa tarehe 31/10 ya kila mwaka.

Ninachoona ni kwamba tarehe 29/10 Tanzania inaenda kuanzisha sikukuu inayofanana kwa aina fulani na Halloween.

Katika utamaduni wa Halloween, ni siku ambayo watu wanavaa vinyago ili kutisha na kufukuza roho chafu na mashetani.

Katika kusherehekea sikukuu hii ya Halloween, Watanzania watazunguka mitaani na kuulizana "trick or treat?"

Je, watapewa biskuti na pipi kama "treats" au watalazimika kuperform "tricks" kwa wale watakaowanyima pipi?

Kiukweli Tanzania haipo tena katika crossroad bali ipo katika dead-end.
 
Watanzania wana maisha magumu na njaa ya kutisha. Halloween ni nuisance celebration affordable by rich countries only. Huku hakuna anayeijua ukiondoa English medium.

Ukiwa na pesa ya kusurvive in modern world unakuwa free kufanya chochote.
 
Naangaza macho yangu katika uso wa nch siku ile oktoba 28 usiku nangaliona taifa likiwaka moto kila kona ya nchi vilio na mayowe vingalitawala ardhi kila kilicho hai kililia na kutapatapata miti wanyama na wanawa adamu mtu mume kundi na kundi lake wangalimkimbiza vifadi yule huku akiema na kitambi chake mithil ya roba la mbegu za haradani pesa askar na heshima havikuweza kumsaidia wakamkamata na kumtwaaa


Na hili ndio Neno la bwana.............. (waumin itikieni)
 
Tanzania inaenda kuungua kuanzia 28/10 Kama washamba wataendelea kushupaza shingo
 
Naangaza macho yangu katika uso wa nch siku ile oktoba 28 usiku nangaliona taifa likiwaka moto kila kona ya nchi vilio na mayowe vingalitawala ardhi kila kilicho hai kililia na kutapatapata miti wanyama na wanawa adamu mtu mume kundi na kundi lake wangalimkimbiza vifadi yule huku akiema na kitambi chake mithil ya roba la mbegu za haradani pesa askar na heshima havikuweza kumsaidia wakamkamata na kumtwaaa


Na hili ndio Neno la bwana.............. (waumin itikieni)

Tanzania inaenda kuungua kuanzia 28/10 Kama washamba wataendelea kushupaza shingo
Aisee sitanii wala sisemi uongo nikisema jana nimeota mtu mmoja ana majeraha mwili mzima. Sehemu zote za miguu zimevimba.
 
Watanzania wana maisha magumu na njaa ya kutisha. Halloween ni nuisance celebration affordable by rich countries only. Huku hakuna anayeijua ukiondoa English medium.

Ukiwa na pesa ya kusurvive in modern world unakuwa free kufanya chochote.
Nadhani haujauelewa uzi huu
 
Nadhani haujauelewa uzi huu
Nimekuelewa vizuri sana. Wewe ndio hujanielewa. Celebration ya aina yoyote ni luxury activity ambayo ni out of reach kama uchumi hauruhusu. Especially at current times na bila kujali what is to happen in 29/10, but even especially when it happens, which is highly unlikely.

Ndio maana huwezi kuta sikukuu mpya zikianzishwa kila siku kama ifanyikavyo in Western or rich countries. Nilidhani ungeweza ku-pick up the general idea through the subtle implications provided for I regard spoon-feeding as an insult to the general intelligence. But I digress.

Nilichokisema hakina uhusiano wowote na mada yako na wala sio lazima iwe hivyo.

I often avoid discussing topics superficially kama wafanyavyo wengi sababu mara nyingi kama ukiamua kuchimba na kwenda deep zaidi to the roots, utakuta hakuna cha maana cha kujadili.

It's either possible or not. Anything else is a waste of time and thinking fuel. You posted a theoretical, rhetorical question on the possibility, and I simply provided an answer regarding its improbability.

Judging by your comment before the one after mine. I reckon wewe utakuwa ni moja ya wale watu wanapenda kuongea aimlessly, mnaita kuchati. Hiyo ndiyo sababu umechanganya kutonielewa kwako kama kutokuelewa kwangu.

I don't do gossips, they genuinely hurt my brain. I can literally feel the physical pain coming with the intense boredom.
 
Nimekuelewa vizuri sana. Wewe ndio hujanielewa. Celebration ya aina yoyote ni luxury activity ambayo ni out of reach kama uchumi hauruhusu. Especially at current times na bila kujali what is to happen in 29/10, but even especially when it happens, which is highly unlikely.

Ndio maana huwezi kuta sikukuu mpya zikianzishwa kila siku kama ifanyikavyo in Western or rich countries. Nilidhani ungeweza ku-pick up the general idea through the subtle implications provided for I regard spoon-feeding as an insult to the general intelligence. But I digress.

Nilichokisema hakina uhusiano wowote na mada yako na wala sio lazima iwe hivyo.

I often avoid discussing topics superficially kama wafanyavyo wengi sababu mara nyingi kama ukiamua kuchimba na kwenda deep zaidi to the roots, utakuta hakuna cha maana cha kujadili.

It's either possible or not. Anything else is a waste of time and thinking fuel. You posted a theoretical, rhetorical question on the possibility, and I simply provided an answer regarding its improbability.

Judging by your comment before the one after mine. I reckon wewe utakuwa ni moja ya wale watu wanapenda kuongea aimlessly, mnaita kuchati. Hiyo ndiyo sababu umechanganya kutonielewa kwako kama kutokuelewa kwangu.

I don't do gossips, they genuinely hurt my brain. I can literally feel the physical pain coming with the intense boredom.
Bila kutumia maneno mengi nasema, kama bado umejikita kuongelea 'sikukuu', narudia tena haujaelewa mada. Nyakati zozote zinaweza kuzalisha 'sikukuu'.
 
Back
Top Bottom