MITANDAO MINNE YA WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINADAMU INAYOITWA
FEMACT
TANZANIA LAND ALIANCE AU TALA
PINGOS FORUM YA ARUSHA
NGONET YA LOLIONDO
wamemaliza kuongea na waandishi wa habari sasa katika hoteli ya LUSH GARDEN na kutoa tamko Kali dhidi ya serikali kwa nia yake ya kutaka kuuza ARDHI ya LOLIONDO kwa kampuni ya OBC kimya kimya. Tamko lina mambo MENGI ila 5 ni haya hapa chini.
1. SERIKALI Iache maramoja Kuuza ARDHI HIYO ILI kuepusha athari za kimazingira na kwa binadamu wanaoishi Kwenye vijiji husika
2. mipango shirikishi inayozingatia HAKI, matakwa na maslahi ya wananchi WENYEJI kutumia ARDHI HIYO iandaliwe
3. Mapendekezo yaliyotolewa na kamati mbalimbali zilizowahi kutembelea eneo hilo kwa nyakati tofauti ikiwemo kamati ya BUNGE ya bwana Ndugai yafanyiwe KAZI maramoja
4. SERIKALI Iache kutumia MABAVU katika kupata suluhu ya MIGOGORO inayohusu rasilimali wa wananchi
Nafukuzia full version niitupie hapa mtandaoni kwa mijadala. NCHI hii iko pabaya Kila kitu kinauzwa sasa tusipokuwa makini
FEMACT
TANZANIA LAND ALIANCE AU TALA
PINGOS FORUM YA ARUSHA
NGONET YA LOLIONDO
wamemaliza kuongea na waandishi wa habari sasa katika hoteli ya LUSH GARDEN na kutoa tamko Kali dhidi ya serikali kwa nia yake ya kutaka kuuza ARDHI ya LOLIONDO kwa kampuni ya OBC kimya kimya. Tamko lina mambo MENGI ila 5 ni haya hapa chini.
1. SERIKALI Iache maramoja Kuuza ARDHI HIYO ILI kuepusha athari za kimazingira na kwa binadamu wanaoishi Kwenye vijiji husika
2. mipango shirikishi inayozingatia HAKI, matakwa na maslahi ya wananchi WENYEJI kutumia ARDHI HIYO iandaliwe
3. Mapendekezo yaliyotolewa na kamati mbalimbali zilizowahi kutembelea eneo hilo kwa nyakati tofauti ikiwemo kamati ya BUNGE ya bwana Ndugai yafanyiwe KAZI maramoja
4. SERIKALI Iache kutumia MABAVU katika kupata suluhu ya MIGOGORO inayohusu rasilimali wa wananchi
Nafukuzia full version niitupie hapa mtandaoni kwa mijadala. NCHI hii iko pabaya Kila kitu kinauzwa sasa tusipokuwa makini