Obama's Teleprompter

Obama amekuwa anatumia teleprompter too much. Nilidhani kwa mtu mwenye akili kama yetye angeweza kuandika main points kwenye kipande cha kikratasi na kumwaga razi kavu kavu, lakini hata kwenye town hall meeting amekuwa anatumia teleprompter.

Teleprompre inatakiwa iwe kwa ajili ya hotuba zinazotakiwa ziwe zimeshatayarishwa na wahusika wamepata nakala zake kama ilivyo kwenye congressional meetings. Lakini hii ya kuja mtaani na kuweka teleprompter inazidi kipimo sasa. Hata Bush angekuwa anatumia teleprompter kila wakati watu wasingejua kuwa ni kilaza.

Obama sio kichwa kama wapenzi wake wanavyotaka tuamini. Kichwa ni Clinton (Bill) bana. Hata mkewe naye ni kichwa. Bill ana uwezo wa kumwaga radhi bila kutumia nyenzo na watu wakakubali.
 
haha unajua kutokana na weusi wake ndo maana anatumia sana telepromter nahisi bado hajiamini kama anaweza kuongoza wazungu
 
ahahaaaaaaaaaaah! hii ilikuwa hatari sana, lakini kama huna akili baada ya tukio si unaweza kuahirisha mkutano? kama angekuwa msanii wetu huyu wa Bongo mi naona angeahirisha mkutano-------we call it a day, ungesikia hivo. lakini jamaa aliendelea na mkutano wake.
 
Obama sio kichwa kama wapenzi wake wanavyotaka tuamini. Kichwa ni Clinton (Bill) bana. Hata mkewe naye ni kichwa. Bill ana uwezo wa kumwaga radhi bila kutumia nyenzo na watu wakakubali.

Mkuu NN kwani hujui jamaa asili yake ni Africa?
Na sisi Miafrika tunapenda sana kutumia nyenzo sishangai hata mkuu wetu wa Kaya kwa nyenzo namvulia kofia.
 
Obama sio kichwa kama wapenzi wake wanavyotaka tuamini. Kichwa ni Clinton (Bill) bana. Hata mkewe naye ni kichwa. Bill ana uwezo wa kumwaga radhi bila kutumia nyenzo na watu wakakubali.

Kichwa sio kujua kusema nini peke yake, bali pia ni kujua kufanya ni nini, wakati gani na sehemu gani . Kwa mantiki hiyo hiyo, Clinton sio kichwa kwani angekuwa kichwa asingefanya yale aliyofanya huko oval office na yule intern.
 
There is something you can learn from that. First that telepromoter has two sides left and right. If right goes away, then you can use the left one and that goes away as well then you use the transcript. The president had all of them and that is why he continued as nothing has happened. It is always good to prepare for whatever you are going to address rather than going and start bring things that were not pre-planned. In the campaign meetings you can do that but not during addressing professional bodies. It is good to always pre-prepare.
Siyo unakwenda kuaddress watu unatumia masaa mawili kuongelea kitu kimoja. Pia kuongea bila kutumia karatasi haina uhusiano wowote na akili. Ukitaka kujua kama kiongozi ni kichwa ama siyo msikilize anavyoyajibu maswali ya wanahabari papo kwa hapo. Hivyo kujiandaa na kuandika utakachohutubia inaonyesha mtu anavyoheshimu watu na muda wao na pia ni nidhamu ya muda na mtiririko. Huhitaji kuandika halafu ukaanza kumemorise ukaseme ili uonekane una akili, hiyo itakuwa ulimbukeni.
Stop being myopic for those who said, b/se Obama is an African in originality, that is why he is using the tools, not at all. Here you want to potray that getting prepared to address the people and read it infront of the people is not being bright enough and you bring into an Africa contest that we are not bright. The fact is, it is you who is not bright as you are dishoring yourself. We, other Africans are bright. Try to see things positively!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kichwa sio kujua kusema nini peke yake, bali pia ni kujua kufanya ni nini, wakati gani na sehemu gani . Kwa mantiki hiyo hiyo, Clinton sio kichwa kwani angekuwa kichwa asingefanya yale aliyofanya huko oval office na yule intern.

Uaminifu ktk ndo na werevu vinahusiana vipi?
 
Uaminifu ktk ndo na werevu vinahusiana vipi?

Hoja hapa sio uaminifu katika ndoa, bali ni decisions making. Kufanya mapenzi katika oval office ni zaidi ya kucheat, inaonyesha ni jinsi gani mhusika alivyo na uwezo mdogo wa kufikiri. Ni muhimu kutambua ya kuwa uwerevu wa mtu auishii tuu kwenye mtu kasema ni nini.
 
Hoja hapa sio uaminifu katika ndoa, bali ni decisions making. Kufanya mapenzi katika oval office ni zaidi ya kucheat, inaonyesha ni jinsi gani mhusika alivyo na uwezo mdogo wa kufikiri. Ni muhimu kutambua ya kuwa uwerevu wa mtu auishii tuu kwenye mtu kasema ni nini.

Huna hoja wewe. Yaani unataka tuamini kuwa Bill Clinton ni decision maker mbaya? Hehehehehe....unajuaje wengine hawajafanya?
 
Wewe ndio huna hoja , kwa hiyo kwa kuwa wengine wamefanya basi ndio ihalalishe makosa ya Clinton. Two wrongs ....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom