Hebu ni ukweli gani huo? Kumbuka yanayosemwa kwamba alisema kuhusu Afrika si kweli. Ni porojo za magazeti fulani. Lete credible source na huo ukweli aliousema.Obama ana kura moja tu.hivyo wamarekani wataamua wenyewe nani wanamtaka. Kama wamehalarishwa ndoa za jinsia moja kwanini washindwe kumpa kura Trump anayezungumza ukweli bila kuupamba?
Pole, nafikiri unaomba jambo ambalo hulijui kabisa. Soma sawasawa habari za Trump siyo kwenye magazeti ya udaku.eeh Mungu mpitishe Trump alete jambi jambi huku Africa
eeh Mungu mpitishe Trump alete jambi jambi huku Africa
Pole, nafikiri unaomba jambo ambalo hulijui kabisa. Soma sawasawa habari za Trump siyo kwenye magazeti ya udaku.