BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,329
Yale yale. Sasa mbona uchumi wa Amerika bado uko hoi? Na hiyo picha ya Amerika amei restore kivipi? Mbona foreign policies za Obama na Bush ni sawa tuu? Yaani hakuna tofauti. Halafu tena OBama ndiyo ameongezea vita mpya ya Libya na anaweza kuleta mpya nyingine hapo Iran. Sielewe unachokiongea. Inaelekea na wewe ni kasuku mwingine. Unarudia rudia tuu mambo.
....Hivi hatuwezi kujadiliana bila kuitana majina ambayo hayastahili!? Heshima ni kitu cha bure Kaka.