Obama katisha sana

Mkuu sasa kulana muamue wenyewe.yeye akatae kama nani kwenye mamauzi ya mtu!!!!

Obama hawezi wakilisha weusi maana si mweusi na mweusi hawezi kuwa raisi wa marekani.
Ninaamini wapo wengi waliopinga huo umaalun Lakini yeye aliwapuuza kwa Majina ya kuwadharau kama bigotry na haters ila yeye alipitisha hizo sera za kipuuzi kuwapendezesha waliberali na wapuuzi wengine wa democrats,,,ila wamarekani wenye akili wamemchoka na wanatamani aondoke WH hata kesho..yule ni mweusi tu ila katiba yao ilimderect step zake la sivyo akili yake chafu ungeiona tu.Weusi wanaopigwa risasi wengine makusudi lakini hakuamua kutilia mkazo sababu ya ujuha wake wa kujipendekeza.
 
Back
Top Bottom