nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,803
- Thread starter
- #21
Bora Chinese kuliko US (Americans).
Ok... Chinese hadi leo bado tunalipia TAZARA na bado wachina wapo wanafanya kazi Tazara... Ngoja Bandari ya Bagamoyo Wachina Kibao ... Sasa wewe sijui kama utaweza kwenda kuishi CHINA; lakini USA wabongo wamezamia kibao...