Obama haogopi kuitwa muislamu

Obama haogopi kuitwa muislamu



The black muslim (in disguise) in the White House!

Bw Buchanan ulipoanzisha thread ya kudai eti Obama ni Mwislamu alisema mwenyewe hukusema ukweli na ulishindwa kuitetea hukuweza kuonyesha ushahidi.

Hapa unarudia uwongo huohuo.
A) Kwa nini?
B) unamwitaje mtu anasambaza uwongo?
 
Back
Top Bottom