utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Muda huu rais Obama na mwenyeji wake rais Kikwete, yupo kwenye mitambo ya kufua umeme ya Symbion iliyopo Ubungo ambayo inafadhiliwa na Marekani. Anaendelea kukagua na baada ya hapo ataweka jiwe la msingi la uzinduzi.baada ya uzinduzi obama amesema lengo la power afrika ni kuboresha maisha ya wakazi wa bara hili la afrika. Pia wameshuhudia mpira unaozalisha umeme