OAC imerudi kwa jina lingine?

OAC imerudi kwa jina lingine?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,252
Reaction score
16,171
Harakati zetu kwa nchi za kiarabu sasa hivi ziko wazi zaidi kuliko pale zamani, hii ni kusema sasa tumejiunga OAC kimyakimya?

Tunahitaji fedha, Nadhani huu ndio wakati wa kujiunga rasmi na OAC ili Tanzania inufaike na uanachama wake kwa uwazi zaidi.
 
Back
Top Bottom