comrade Malilo
New Member
- Mar 19, 2017
- 2
- 4
Kwa zaidi ya miezi miwili maji hayatoki mitaa ya Nzuguni B’ Dodoma, na DUWASA haisemi chochote, then chakushangaza bado tunaletewa bili tulipe. Tafadhali Wizara ya Maji na mamlaka husika zichukue hatua juu ya hili swala.