capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,353
- 121,237
Kwenu wana JF,
Je msio na nafasi za kujihudhurisha katika nyumba za ibada Huwa mna fanyaje, Je umesikia hii?
Binafsi ni Mkristo na nimekuwaa katika Ukristo ila changmoto ni kuendelea kuhudhuria ktk nyumba za Ibada, hii ni kutokana na Kazi ninayo fanya na mazingira ninayo ishi!!
I live in a world of noise. Almost everywhere I go, I find sounds competing with my mind, keeping me from letting my thoughts get below the surface level.
Hearing God's voice means not listening to the noise of the world around us. It's not easy, but it can be done.
Nimegundua Mungu huzungumza nasi kwa namna tofauti, kama ile ambayo binafsi huzungumza nami!
Listening to God is like listening to anyone-before you can hear Him, you must be ready to listen. Just as in a conversation, you cannot hear the other person if you are talking or if your mind is distracted.
Nashukuru kwa programms zinazoendeshwa na waumini wa SDA!! Nimekutana na program kadhaa zikiendeshwa kupitia YOUTUBE na zimenisaidia walau kupunguza KIU yangu kuhusu kutaka kumjua MUNGU!!
To cut a long story short, naguswa kuwapeni taarifa kwa wale wenye changamoto na shauku kama yangu. Jifunzeni kupitia YOUTUBE, Mungu anatujali na kutupenda bado.
Hizi ni badhi ya picha nimechukua kupitia YOUTUBE
WHAT DO YOU THINK?
- We have all sinned and deserve God's judgment. God, the Father, sent His only Son to satisfy that judgment for those who believe in Him. Jesus, the creator and eternal Son of God, who lived a sinless life, loves us so much that He died for our sins, taking the punishment that we deserve, was buried, and rose from the dead according to the Bible. If you truly believe and trust this in your heart, receiving Jesus alone as your Savior, declaring, "Jesus is Lord," you will be saved from judgment and spend eternity with God in heaven.
Mungu Awabariki Wale Wote Mnahusika/Kushiriki Kurusha Hotuba Hizi!!
Je msio na nafasi za kujihudhurisha katika nyumba za ibada Huwa mna fanyaje, Je umesikia hii?
Binafsi ni Mkristo na nimekuwaa katika Ukristo ila changmoto ni kuendelea kuhudhuria ktk nyumba za Ibada, hii ni kutokana na Kazi ninayo fanya na mazingira ninayo ishi!!
I live in a world of noise. Almost everywhere I go, I find sounds competing with my mind, keeping me from letting my thoughts get below the surface level.
Hearing God's voice means not listening to the noise of the world around us. It's not easy, but it can be done.
Nimegundua Mungu huzungumza nasi kwa namna tofauti, kama ile ambayo binafsi huzungumza nami!
Listening to God is like listening to anyone-before you can hear Him, you must be ready to listen. Just as in a conversation, you cannot hear the other person if you are talking or if your mind is distracted.
Nashukuru kwa programms zinazoendeshwa na waumini wa SDA!! Nimekutana na program kadhaa zikiendeshwa kupitia YOUTUBE na zimenisaidia walau kupunguza KIU yangu kuhusu kutaka kumjua MUNGU!!
To cut a long story short, naguswa kuwapeni taarifa kwa wale wenye changamoto na shauku kama yangu. Jifunzeni kupitia YOUTUBE, Mungu anatujali na kutupenda bado.
Hizi ni badhi ya picha nimechukua kupitia YOUTUBE
WHAT DO YOU THINK?
Mungu Awabariki Wale Wote Mnahusika/Kushiriki Kurusha Hotuba Hizi!!