nyumba hizi ziko mbili katika kiwanja kimoja. barabara ipo, ziko katika mtaa ulio pangwa vizuri,na serikali. hati ipo, maji na umeme vipo. mawasiliano: 0719646407
nyumba hizi ziko mbili katika kiwanja kimoja. barabara ipo, ziko katika mtaa ulio pangwa vizuri,na serikali. hati ipo, maji na umeme vipo. mawasiliano: 0719646407
Hazina mkuu ni nyumba nzuri zinamadirisha makubwa ziko katika hali ya usafi ambapo si rahisi kuwa na mende, kunguni na viroboto, ila wewe ukihamia humo na ukawa mchafu, viumbe hao watakuwa wageni wako, karibu mkuu tufanye biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.