Nyumba zinauzwa Dodoma

Chillah

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2016
Posts
9,319
Reaction score
10,572
  • Nyumba mbili zina uzwa dodoma... Eneo zilipo nyumba hizi ni Ntuka... Una pita Uzunguni, Kilimani (Kijiji cha mwalimu Nyerere, Ikulu iliyo jengwa kwa ajiri ya mwalimu na vijana wa JKT)
  • una panda mlima wenye minala inayo onekana ukiwa sehemu yoyote Dodoma mjini au ukiwa una ingia dodoma mjini
  • Karibuni, kila Nyumba ni 50M... naambatanisha na picha... kila nyumba ina vyumba vinne (4), ukitaka moja au zote karibu...
  • makabidhiano tuta kabidhiana kwa mwanasheria kwa usalama wako na wangu pia...! kama una mwanasheria wako itakuwa ni jambo jema... ukitaka kuja kuziona au kujilizisha basi tutafutane...! Namba 0718440828
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…