Nyumba za Mabeberu!

Mnyiramba

JF-Expert Member
Jun 19, 2022
1,112
2,957
Binadamu wenzetu waishio Dunia ya kwanza linapokuja swala la makazi huwa hawana mbwembwe nyingi, hasa kwenye ujenzi wa nyumba kama sisi wenye kipato kidogo tuishio Dunia ya tatu!

Yaani mtu yupo radhi ajinyime hata kula ili ajenge nyumba ya milioni 50, matokeo yake mjengo unaisha lakini mwenye nyumba anaanza kuugua vidonda vya tumbo!

Tuache sifa za kijinga tujenge nyumba tu za kawaida zenye viwango vizuri!

IMG_1743.jpg

IMG_1744.jpg

IMG_1747.jpg

IMG_1746.jpg

IMG_1745.jpg
 
Huna haja ya kujitetea boss, piga hako kakibanda umiza tu, hamna atakayekuchapa ....hao mabeberu unaowarefer kwao nyumba ya kawaida huku ni kali mno, na quality yake hata huwez gusa
 
Binadamu wenzetu waishio Dunia ya kwanza linapokuja swala la makazi huwa hawana mbwembwe nyingi, hasa kwenye ujenzi wa nyumba kama sisi wenye kipato kidogo tuishio Dunia ya tatu!

Yaani mtu yupo radhi ajinyime hata kula ili ajenge nyumba ya milioni 50, matokeo yake mjengo unaisha lakini mwenye nyumba anaanza kuugua vidonda vya tumbo!

Tuache sifa za kijinga tujenge nyumba tu za kawaida zenye viwango vizuri!

View attachment 2403457
View attachment 2403458
View attachment 2403460
View attachment 2403461
View attachment 2403462
🤔🤔🤔 nyumba kama hiyo ya kijivu naweza nikajenga kwa tsh ngapi
 
Asa milioni 50 nayo unaona kubwa!! kumbe mabangaloo ya watu saiti yanakunyima raha ,we jenga kulingana na mfuko wako usiangalie jirani kajenga nini,ata akifa kwa vidonda vya tumbo bado hayakuhusu.
 
Back
Top Bottom