shoomyabrah
Member
- Aug 14, 2014
- 5
- 5
Kuna mtu anajua jinsi ya kuomba makazi nyumba za kota Magomeni.
Ingia website ya NHCKuna mtu anajua jinsi ya kuomba makazi nyumba za kota magomen
Ingia website ya NHC
Wengi wao ni njaa tupu..muda si mrefu watawaachia/wapangisha wenye hela wao warudi chalinze kulima mihogo.Usijaribu
Pale bila mjeledi. Patakua uswazi pundeWengi wao ni njaa tupu..muda si mrefu watawaachia/wapangisha wenye hela wao warudi chalinze kulima mihogo.
#MaendeleoHayanaChama
Wale hawatak kutoa hata pesa ya uchafuZile watakaa waliokuwa wakazi wa hapo kabla hapajavinjwa... Ila unaweza ongea na hao wakazi ukawapa hela ya mwezi wao wanahama..