chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,561
- 28,445
Heshima yenu wakuu.
Ninategemea kuwa na ugeni siku chache zijazo, kwa mazingira ya Dar wageni wangu wamependelea kupumzika maeneo ya mbezi beach.
Sasa wakuu najua JF halishindikani jambo, naomba mnifahamishe nyumba nzuri za wageni zinazopatikana maeneo ya Mbezi pamoja na bei zake itakuwa njema zaidi.
Natanguliza shukrani.
Ninategemea kuwa na ugeni siku chache zijazo, kwa mazingira ya Dar wageni wangu wamependelea kupumzika maeneo ya mbezi beach.
Sasa wakuu najua JF halishindikani jambo, naomba mnifahamishe nyumba nzuri za wageni zinazopatikana maeneo ya Mbezi pamoja na bei zake itakuwa njema zaidi.
Natanguliza shukrani.