Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,521
- 14,000
Habari zenu wakuu?Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Philips nyuma ya Philips super market,mita 100 toka Moshi/Arusha road
Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja ni master bed room(choo,bafu ndani)
1 Sebule
1 Dinning area
Jiko na stoo
Nyumba yote ni full gypsum na floor tiles
Ina mfumo wa kuchemsha maji ya kuoga kwa kutumia umeme
Inajitegemea mita ya LUKU (Umeme) na mita ya maji
Nyumba ni ya floor ya kwanza(nyumba ya ghorofa) Ina balcony kwa ajili ya kupunga upepo.
Nyumba haina fenicha zaidi ya makabati.