NYUMBA YA VYUMBA NANE INAUZWA!

NYUMBA YA VYUMBA NANE INAUZWA!

ISENUKA

Member
Joined
May 25, 2014
Posts
81
Reaction score
10
Nyumba ipo kibaha picha ndege, inavyumba nane double mbili na single nne, na uwanja kidogo upo, ila bado haijapauliwa, msingi umemiminwa na imepigwa pia renta kwa kumiminwa kisha ikamaliziwa kozi mbili za juu, mwenye nyumba kaijenga muundo wa kupangisha, bei 25M ila maongezi yapo. jirani na stand na barabara hadi uwanjani. 0686958013
picha nipe namba yako nitakutumia whatsap
 
Back
Top Bottom