M mkurugenzi1 Senior Member Joined Mar 22, 2009 Posts 122 Reaction score 28 Oct 17, 2011 #1 nyumba ya kupangisha inahitajika mwishoni mwa mwezi huu....iwe na vyumba vitatu au viwili vya kulala... maeneo ya tabata, sinza, mwananyamala, kinondoni,.... kodi:250000 - 300000/- kwa mwezi. kifuta jasho ntatoa ni pm.
nyumba ya kupangisha inahitajika mwishoni mwa mwezi huu....iwe na vyumba vitatu au viwili vya kulala... maeneo ya tabata, sinza, mwananyamala, kinondoni,.... kodi:250000 - 300000/- kwa mwezi. kifuta jasho ntatoa ni pm.
SaraM Senior Member Joined Sep 8, 2011 Posts 162 Reaction score 110 Oct 17, 2011 #2 nyumba inapangishwa maeneo ya tabata mawenzi, vyumba vinne, kwa mawasiliano ni pm