Nyumba ya kupanga

Nyumba ya kupanga

HKB

Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
48
Reaction score
2
Ndugu naulizia nyumba yenye 2 rooms, sebule, jiko maeneo kama mwenge na mengineyo yenye kodi ndogo ila pako vizuri.. Isizidi laki per month
 
Weka bei sasa inapatikana kwe bei zipi...
 
mimi natafuta maeneo karibu na muhimbili. two rooms and a sitting room. tuanzie 300000
 
Mimi mataka nyumba ya kukodi kwa muda wa mwezi mmoja, lakini iwe na chumba na sitting room, choo na jiko, maeneo yawe mikocheni, mwenge, sinza naciwe ni ya kujitegemea pia iwe furniture fully, bei isizidi laki 5, 0657690970
 
Unataka nyumba au chumba..mwenge laki ni chumba na choo tena 150 kuanzia unavyotaka ni laki tatu kwenda juu..
 
Unataka nyumba au chumba..mwenge laki ni chumba na choo tena 150 kuanzia unavyotaka ni laki tatu kwenda juu..

Nadhani nimeeleza kuwa nataka chumba na sitting room, jiko na choona iwe na fully furniture nahitaji nyumba kwa ajili ya mgeni ambae anahitaji kukaa mwezi mmoja tu
 
Ndugu naulizia nyumba yenye 2 rooms, sebule, jiko maeneo kama mwenge na mengineyo yenye kodi ndogo ila pako vizuri.. Isizidi laki per month

karibu makongo juu kiongozi..
ipo ya vyumba viwili with màster room, sebule, na korido,,ndani ya geti, na ni karibu na barabara...
ni nzuri, tiles...
ila ni kwa laki mbili tu..ipo wazi mkuu tuwasiliane hapa 0715 547184
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom