Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
poleni kwa majukumu ya kujenga na kubomoa taifa! Nina rafiki yangu amepangiwa kazi maeneo ya mjini/posta ya zamani dar. Yeye si mwenyeji wa hapa dar, hvyo basi ameniomba nimtafutie eneo la kuishi ambalo litakuwa karibu na lenye usafiri ambao hautamgarimu hususani katika muda.
Baada ya kupata hayo maelezo yake nikachanganya kichwani nikagundua eneo pekee ambalo halitamweka kwenye foleni akienda kazini ni kigamboni.
Mimi si dalali na sina uzoefu wa maeneo hayo, hivyo basi napenda kuleta hoja ya huyu mheshimiwa humu jamvini.
Anahtaji vyumba viwili masters, ofa yake ni 100k na uwezo wa kulipa ni miezi sita sita.
Nawasilisha hoja, naomba majibu yawekwe hapa hapa jamvini kwa wajuvi
Baada ya kupata hayo maelezo yake nikachanganya kichwani nikagundua eneo pekee ambalo halitamweka kwenye foleni akienda kazini ni kigamboni.
Mimi si dalali na sina uzoefu wa maeneo hayo, hivyo basi napenda kuleta hoja ya huyu mheshimiwa humu jamvini.
Anahtaji vyumba viwili masters, ofa yake ni 100k na uwezo wa kulipa ni miezi sita sita.
Nawasilisha hoja, naomba majibu yawekwe hapa hapa jamvini kwa wajuvi