TheBuilder
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 237
- 212
Nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba vya kulala vitatu (3), iwe kuanzia maeneo ya Tuangoma mpaka Kibada, isiwe mbali sana na barabara kuu. Ni vyema ikawa na umeme lakini hata kama haina umeme ni sawa, nitajua ni jinsi gani ya kusolve hiyo issue.
Au maeneo ya Tungi Kigamboni.
Asante kwa ushirikiano.
Au maeneo ya Tungi Kigamboni.
Asante kwa ushirikiano.
