Nyumba ndogo bwana.

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Niko Mombasa kwa mapumziko ya X-mas na mwaka mpya. Nimesafiri na wife na watoto. Shida sub-house imekasirika sana haitaki mawasiliano na mimi, hapokei simu wala hajibu message. Mimi wanawake wengine sijui wakoje bana.
 
Niko Mombasa kwa mapumziko ya X-mas na mwaka mpya. Nimesafiri na wife na watoto. Shida sub-house imekasirika sana haitaki mawasiliano na mimi, hapokei simu wala hajibu message. Mimi wanawake wengine sijui wakoje bana.

daahh mkuu nipo nae uwe naamani....alafu anajua mambo huyo na wakati wewe ukiwa na huyu nyumba ndogo mimi huwa nipo na mke wako...
 
dah....kuwa m'mbadala mbaya eeh.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…