Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Kwa nini viongozi wa ngazi za juu serikali nyumba zao zipo sehemu fulani tu ?
Je usingekuwa ubunifu wa kuwa karibu na wananchi kama kwa mfano serikali ikawa na nyumba mbili za watendaji sinza , nyumba mbili temeke, nyumba mbili ubungo, kigamboni. nk
Nawasilisha kwa mjadala.
Je usingekuwa ubunifu wa kuwa karibu na wananchi kama kwa mfano serikali ikawa na nyumba mbili za watendaji sinza , nyumba mbili temeke, nyumba mbili ubungo, kigamboni. nk
- Kwanza hii ingesaidia hawa watendaji wawe karibu zaidi na wanachi waone na waishi kwenye kero ziwe za maji, umeme, foleni, nk
- Pili kwa kama watendaji walio kwenye nafasi za maamuzi wanaweza kusaidia kuondoa kero haraka katika maeneo wanayoishi . Sababu akikutana bosi fulani anakaa mbagala na mwingine anakaa ubungo waka discus kero labda wanaweza kuelewana zaidi.
Nawasilisha kwa mjadala.