manizzle
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 3,421
- 4,317
hakuna offer ya mwisho mkuu, hii sio nyumba ya mnada. mazungumzo baina ya pande mbili ndio yanaleta maridhiano ya kufanya biashara.Vipi huyu mteja wa JF bado hajalipia? Mzee akishusha mpaka offer yake ya mwsho kabisa nishtue
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, iko Kitunda ipi ? Relini, Shule, Relini, Kati, Forest, Pentagoni au Nyantira ?Hiyo nyumba inang'ata naona umeipigia picha darubini ya sniper ukiwa msata[/
Salaam,
Nyumba inauzwa ipo banana (KITUNDA)
(8km from airport)
Maelezo:
Ina vyumba vinne vya kulala (kimoja ni master bedroom), jiko, sebule, store, dinning room na public toilet.
(Ukubwa wa vyumba ft 12 kwa 12)
Nyumba imeshafanyiwa plundering Bado kufunga gypsum tu.
Pia skimming tayari bado kupaka rangi.
(Mnunuzi atakua na option aina ya finishing nzuri anayoihitaji kuifanya Mwenyewe)
Mwisho kabisa.
Ina fensi iliyozungushwa kwa umeme
Ina kisima chenye kutoa maji safi na salama.
Eneo la NYUMBA ni SQM 625 (25m×25m)
Ipo mtaa mzuri na tulivu uliopangika
Price: 65m (negotiable with owner)
Contact through: 0756 832833
Note: picha za ndani kwa interested clients zitatumwa kwa WhatsApp.
View attachment 807004View attachment 807005View attachment 807006View attachment 807007View attachment 807009
jichange madam uje ufunge biashara.KUMBE BADO HAIJAUZWA ILA NZURI SANA KWA MWONEKANO WA NJE
kitunda shule kwa mbele kidogo (tumaini)Mkuu, iko Kitunda ipi ? Relini, Shule, Relini, Kati, Forest, Pentagoni au Nyantira ?
unaambiwa kaonane na muhusika, unadai huna muda wa kuzunguka hiyo offer yako ungeenda kupresent mwenyewe.Hii bado haijaondoka ? Ukifika kwenye offer yangu nitafute
Nimeshafika hapo sehem. Wewe ni dalali, peleka offer njoo na majibuunaambiwa kaonane na muhusika, unadai huna muda wa kuzunguka hiyo offer yako ungeenda kupresent mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe umefika, kwanin usimpe offer yako na una mawasiliano na boss?Nimeshafika hapo sehem. Wewe ni dalali, peleka offer njoo na majibu
Nimefika kupitia kwako na ni kazi yako kumwambia hiyo offerkumbe umefika, kwanin usimpe offer yako na una mawasiliano na boss?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umetisha, sasa kama una mawasiliano na owner binafsi sina kazi tena hapo.Nimefika kupitia kwako na ni kazi yako kumwambia hiyo offer
Hii offer aliikataa ndio maana ninahitaji kujua hali ikojemkuu umetisha, sasa kama una mawasiliano na owner binafsi sina kazi tena hapo.
mpe offer mmalizane nae tu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app