Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 491
- 189
Nyumba ina vyumba vitatu (kimoja ni master).
Ina sebule na jiko ndani.
Baraza ya kutosha ipo.
Eneo lina ukubwa wa mita 29 kwa 20. Mahali ni Tegeta ( ukipanda daladala unashuka Tegeta Samaki kisha unaifuata barabara ya kwenda goba. Ni KM 3 na nusu kutoka Bagamoyo road hadi nyumba ilipo.)
Nyumba inahitaji umaliziaji tu. Ndani milango bado ila yote tayari ina fremu. Ndani plasta tayari ila nje bado. Chumba kimoja tayari kina tiles. vingine vina vina rough floor kwa ajili ya kuweka tiles.
Upatikanaji wa maji ni wa uhakika. Umeme bado ila wireling tayari na nguzo ipo nje yaani bado kuvuta umeme tu.
Gari inafika hadi barazani bila shida yoyote.
Bei ni mil 70 (maelewano yapo )
Kwa aliye serious tuwasiliane 0715553166
Ina sebule na jiko ndani.
Baraza ya kutosha ipo.
Eneo lina ukubwa wa mita 29 kwa 20. Mahali ni Tegeta ( ukipanda daladala unashuka Tegeta Samaki kisha unaifuata barabara ya kwenda goba. Ni KM 3 na nusu kutoka Bagamoyo road hadi nyumba ilipo.)
Nyumba inahitaji umaliziaji tu. Ndani milango bado ila yote tayari ina fremu. Ndani plasta tayari ila nje bado. Chumba kimoja tayari kina tiles. vingine vina vina rough floor kwa ajili ya kuweka tiles.
Upatikanaji wa maji ni wa uhakika. Umeme bado ila wireling tayari na nguzo ipo nje yaani bado kuvuta umeme tu.
Gari inafika hadi barazani bila shida yoyote.
Bei ni mil 70 (maelewano yapo )
Kwa aliye serious tuwasiliane 0715553166