Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

Yumbayumba

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2012
Posts
1,240
Reaction score
845
IMG_20171219_181852.jpg
IMG_20171219_182027.jpg
IMG_20171219_181840.jpg
IMG_20171219_181830.jpg
IMG_20171219_184237.jpg
IMG_20171219_184106.jpg
IMG_20171219_184147.jpg

Ipo tabata
Ni nyumba mpya ya kisasa
Ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja master
Bei mil 75 mazungumzo yapo

Kwa aliye serious anichek pm kwa maelezo zaidi
 
Huoni kama hiyo nyumba ni mpya? Na mtu akitaka kununua si anafika nyumba ilipo anaiona?
Huo uchoko unaoleta ww
Mkuu hii nyumba ni mpya? Coz nijuavyo mm, kitu kipya kinakuwa hakijawahi kutumika..
 
Mkuu hii nyumba ni mpya? Coz nijuavyo mm, kitu kipya kinakuwa hakijawahi kutumika..
Nyumba iliyojengwa mwaka 2000 alafu haijawahi kutumika na nyumba iliyojengwa mwaka 2017 mwishoni ila mwenyewe anakaa ipi mpya?
 
Usiwe kama shoga, hakuna mahali niliposema hii nyumba ni yangu

Mwenye hii nyumba ni ndugu yangu na ndio biashara yake anajenga nyumba na kuuza. Kashauza nyumba zaidi ya 20 ukija huku nitakuonyesha baadhi ya nyumba zake alizouza

Endelea kupekua utaona kuna nyumba yake nyengine pia niliipost ila ishauzwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom