- Thread starter
- #21
Asante kwa ushauri ila hiyo 150M ni reasonable kabisaNdugu ushauri wangu kwa hali ya nchi ilivyo na inavyozidi kuendelea kuwa mshauri muuzaji kwa hao wenye 100-120M akomae awape faster maana ikifika mwakani tu kwenye January hata huyo wa kumpa 100M anaweza kukosa