hivi mkuu ununio unayo iseme ni ile ya tegeta unaenda bunju au ipo nyingine?mi hiyo ununio ndo naifahamu ambayo ina bandali bubu ya kuvushia magendo kwenda zanzibar.au ipo nyingine?ambayo ina viwanja ambavyo havijaendelezwa?mimi sioni unaogopa nini.hata ukisema iwe siri mwisho utajulikana tu.unafikiri nani utamuuzia nyumba kwa maficho?utatufuata viongozi wa sehemu husika na majirani zako tu so huna pakutukwepea usijulikane.
Ununio ninayoisema ndio hiyo, sisemei kwenye bandari, na sina taarifa za hiyo bandari kuvusha magendo, seems news to me, najua tu kwenda kununua samaki kule wa mnada! Kwa taarifa tu eneo la Ununio ni kubwa sana na kama hujafika siku za karibuni, is one of the nice place kwa sasa, pamejengeka sana na ni maeneo mazuri ya kuishi, na most people wanaoishi kule ni young graduates ambao wengi ni middle class people, lots of kids etc. Nyumba yangu iko mbali kiasi toka ufukweni, maeneo yote ni surveyed na yana certificate of occupancy/Tittle. Kufika kule kuna njia tofauti, unaweza kupitia Kunduchi mtongani kule kweney mabwawa ya chumvi, infact ile barabara inajengwa kwa kiwango cha lami, au ukapitia tegeta-- Basihaya (Bus Hire). Umbali toka mjini hadi Ununio ni kilomita 28
Labda niclarify kuhusu identity. Watu wengi humu JF tunajitambulisha kwa majina sio yetu halisia, lengo ni kuficha tu identity yetu na kutupa uhuru mpana wa kusema kile kilichopo katika mawazo yetu pasipo kuogopa kujulikana, ndio maana kuna kina Malaria Sugu, Mwanakijiji, Nyani Ngoba, Ichondi, "Dubu" etc. Nyumba inaweza kumdentify mtu kirahisi, the moment mtu unaona picha ya nyumba, na anamjua mwenye nyumba ni nani, unasema oh, hii si nyumba ya mtu fulani, lets say Kibuli, (i am just making name here) oh kumbe Kibuli ndio anajiita "Ichondi" Then Ichondi anakuwa ameshajulikana ni nani. Haya ndio mawazo yangu, yumkini ninakosea but I am pretty sure kuna watu hapa JF wataijua hiyo nyumba na mwenye nayo the moment wakiona picha
Ni jambo la kawaida kwa muuzaji kuamua kutokuweka picha ya nyumba anayouza, only mtu akitaka picha anarequest. Kama kuna mtu anataka picha, send the text to the number iliyoonyeshwa hapo juu na urequest picha, na uspecify mode ya kutumiwa hizo picha, I will do that. Hili ni jambo la kawaida, kwa wale wanaoshop ebay etc kwa nchi za nje, sometimes picha is available on request. Hata magari ya Japan, sometimes picha is available on request. Sio kitu ambacho si cha kawaida, na mimi nimeona nifanye hivyo, kama kuna yeyote anayetaka kuona picha, send your request and the pictures will be sent to you directly.