Nyumba inauzwa Ununio Beach

ICHONDI

JF-Expert Member
Dec 3, 2008
600
134
Nyumba ya kisasa inauzwa. Eneo la kiwanja ni ekari moja. Ina fence vyumba vinne na nyumba ya uwani vyumba viwili jiko , sebule na choo(unfinished)
Main house Ina sqm 320. Wasiliana na 0754310086. Dalali hatakiwi. Bei ni dola za kimarekani 350,000. Maongezi yapo
 
Mkuu hapo ununio si mlikatazwa kujenga?kuna umbali gani kutoka baharini?mkuu usiwaingize watu mkenge kupitia jf.ununio walishaambiwa wahame ambao wamejenga kwenye hifadhi ya bahari.mia
 
Mkuu hapo ununio si mlikatazwa kujenga?kuna umbali gani kutoka baharini?mkuu usiwaingize watu mkenge kupitia jf.ununio walishaambiwa wahame ambao wamejenga kwenye hifadhi ya bahari.mia
Hili jukwaa ni jukwaa la heshima. Mimi sio mpumbavu kuweka tangazo la kijinga hapa. Kabla ya kutoa comment yako ya kijingai ulipashwa kujua mambo kadhaa. Ununio ni kiijiji kikubwa kimejengwa kuliko masaki. Wewe hata Ununio huijui. Please if you have nothing important to say keep your mouth shut! Thank you
Nyumba ipo umbali wa karibu robo kilomita toka beach ni about 10 minutes walk to the beach
 
Hili jukwaa ni jukwaa la heshima. Mimi sio mpumbavu kuweka tangazo la kijinga hapa. Kabla ya kutoa comment yako ya kijingai ulipashwa kujua mambo kadhaa. Ununio ni kiijiji kikubwa kimejengwa kuliko masaki. Wewe hata Ununio huijui. Please if you have nothing important to say keep your mouth shut! Thank you
Nyumba ipo umbali wa karibu robo kilomita toka beach ni about 10 minutes walk to the beach

Matusi yako badala ya kujibu maswali muhimu yanatupa wasiwasi-hoja ujibiwa kwa hoja si matusi.
 
Nyumba ya kisasa inauzwa. Eneo la kiwanja ni ekari moja. Ina fence vyumba vinne na nyumba ya uwani vyumba viwili jiko , sebule na choo(unfinished)
Main house Ina sqm 320. Wasiliana na 0754310086. Dalali hatakiwi. Bei ni dola za kimarekani 350,000. Maongezi yapo
dola laki tatu na nusu = ni zaidi ya milioni mia sita!!!

hivi dolalization bado haijazuiwa tu
 
Matusi yako badala ya kujibu maswali muhimu yanatupa wasiwasi-hoja ujibiwa kwa hoja si matusi.
Nimejibu maswali yote aliyouliza. Umbali toka Ununio beach nimeeleza. Ungesoma vizuri Ungejua nimejibu. Aliyetoa hoja aliconlude kuwa Eneo limezuiwa kujengwa bila kujua ukweli. So alipashwa kupewa majibu ya ukali kwa sababu conlusion yake inavunja Moyo serious buyers. I think ni vyema kuheshimiana humu jukwaani. Mimi sio dalali, so kuona michango Kama hii kunavunja Moyo sana Kama kweli hili ni jukwaa lenye kusaidia. The same post imewekwa michuzi blog and comments are good. Huku tunasaga tu na wengi wanaosaga ni wabeba mabox hawajui hata Ununio iko wapiti q
 
Nimejibu maswali yote aliyouliza. Umbali toka Ununio beach nimeeleza. Ungesoma vizuri Ungejua nimejibu. Aliyetoa hoja aliconlude kuwa Eneo limezuiwa kujengwa bila kujua ukweli. So alipashwa kupewa majibu ya ukali kwa sababu conlusion yake inavunja Moyo serious buyers. I think ni vyema kuheshimiana humu jukwaani. Mimi sio dalali, so kuona michango Kama hii kunavunja Moyo sana Kama kweli hili ni jukwaa lenye kusaidia. The same post imewekwa michuzi blog and comments are good. Huku tunasaga tu na wengi wanaosaga ni wabeba mabox hawajui hata Ununio iko wapiti q

Nimependa comment hiyo.....Mtazamo wangu, JF si kijiwe cha mafisadi ndugu yangu ambao wanaweza nunua nyumba za bei hizo....
 
Nimependa comment hiyo.....Mtazamo wangu, JF si kijiwe cha mafisadi ndugu yangu ambao wanaweza nunua nyumba za bei hizo....
Tatizo definition ya ufisadi imepotoshwa kwa kudhani kuwa kila mwenye hela basi ni fisadi hata kama amezipata kihalali. Hapa ni sehemu ya matangazo wapo wengi wanaopitia hapa kutafuta haja mbalimbali. Kama wewe hutafuti nyumba kwa sasa huna haja ya kupost negatives. Waache wenye kuhitaji na kama ni mafisadi haya Kama wasafi hayaaaa
 
Tatizo definition ya ufisadi imepotoshwa kwa kudhani kuwa kila mwenye hela basi ni fisadi hata kama amezipata kihalali. Hapa ni sehemu ya matangazo wapo wengi wanaopitia hapa kutafuta haja mbalimbali. Kama wewe hutafuti nyumba kwa sasa huna haja ya kupost negatives. Waache wenye kuhitaji na kama ni mafisadi haya Kama wasafi hayaaaa

Umeambiwa weka picha watu waone kama unastahili hilo gunia la dollars!! usije ukatuuzia mbuzi kwenye gunia.
 
Umeambiwa weka picha watu waone kama unastahili hilo gunia la dollars!! usije ukatuuzia mbuzi kwenye gunia.
Are you a serious buyer? This is big issue Ndugu sio issue ya kuuziana mbuzi kwenye gunia. If interested call the number and arrange a viewing. Picha zaweza kupigwa kukuvutia tu tofauti na hali yenyewe. I just need to deal with a serious buyer bro. Thanks
 
Are you a serious buyer? This is big issue Ndugu sio issue ya kuuziana mbuzi kwenye gunia. If interested call the number and arrange a viewing. Picha zaweza kupigwa kukuvutia tu tofauti na hali yenyewe. I just need to deal with a serious buyer bro. Thanks

Dunia nzima, realtors ambao wako serious wanaweka picha ya properties wanazoziuza then interested buyers wanaangalia na kum-contact muuzaji/agent. hii inasave time ya pande zote, kuliko kuanza kutafutana kwenye simu. Network yenyewe saa nyingine iko down. A picture speaks a thousand words.
 
Bora umeongeza sauti yako kumweleza. Anarudirudia neo serious buyer wakati yeye mwenyewe si serious seller. Anafikiri wanunuzi wote wako dar au Tanzania kiasi cha kumpigia na kutembelea site katika hatua hii ya wali. Fikiria ni nyumba ngapi zinatangazwa kuuzwa katika forums mbalimbali na hao unawadhani kuwa ni serious buyers watatembelea nyumba ngapi. Nakushauri kwa nia njema ndugu yangu ukitaka mafanikio ya maisha punguza ujuaji,sikiliza zaidi kuliko kuongea-angalia mambo nje ya box. All the best

Dunia nzima, realtors ambao wako serious wanaweka picha ya properties wanazoziuza then interested buyers wanaangalia na kum-contact muuzaji/agent. hii inasave time ya pande zote, kuliko kuanza kutafutana kwenye simu. Network yenyewe saa nyingine iko down. A picture speaks a thousand words.
 
Bora umeongeza sauti yako kumweleza. Anarudirudia neo serious buyer wakati yeye mwenyewe si serious seller. Anafikiri wanunuzi wote wako dar au Tanzania kiasi cha kumpigia na kutembelea site katika hatua hii ya wali. Fikiria ni nyumba ngapi zinatangazwa kuuzwa katika forums mbalimbali na hao unawadhani kuwa ni serious buyers watatembelea nyumba ngapi. Nakushauri kwa nia njema ndugu yangu ukitaka mafanikio ya maisha punguza ujuaji,sikiliza zaidi kuliko kuongea-angalia mambo nje ya box. All the best

Ushauri muruwa huu, kama ana akili na sio dalali ataufuata!!
 
Ushauri muruwa huu, kama ana akili na sio dalali ataufuata!!

Akili ninazo, mimi so dalali bali ni "owner", and i chose kutokuufuata ushauri huu. Nadhani kama una akili utajua ninaongea nini
 
Nyumba ya kisasa inauzwa. Eneo la kiwanja ni ekari moja. Ina fence vyumba vinne na nyumba ya uwani vyumba viwili jiko , sebule na choo(unfinished)
Main house Ina sqm 320. Wasiliana na 0754310086. Dalali hatakiwi. Bei ni dola za kimarekani 350,000. Maongezi yapo

we mwenyewe dalali
 
Hili jukwaa ni jukwaa la heshima. Mimi sio mpumbavu kuweka tangazo la kijinga hapa. Kabla ya kutoa comment yako ya kijingai ulipashwa kujua mambo kadhaa. Ununio ni kiijiji kikubwa kimejengwa kuliko masaki. Wewe hata Ununio huijui. Please if you have nothing important to say keep your mouth shut! Thank you
Nyumba ipo umbali wa karibu robo kilomita toka beach ni about 10 minutes walk to the beach
Kaka usiwe mkali ,jamaa alikuwa anatoa maoni kwa jinsi anavyojua,yeye sio malaika kiasi kwamba angejua nyumba yako iko umbali wa robo kilomita ,tatizo huenda tangazo lako ,ulitakiwa kueleza hayo uliyosema kuwa iko karibu robo kila mtu kutoka bahari,jamaa katoa tahadhali tu ,ambacho ni kitu kizuri kwa yoyote hata ungekuwa wewe hakuna mtu anayependa apoteze hela ,mambo haya ya kuuziwa sehemu ambazo haziruhusiwi yapo na sio kuwa hao wanaofanya hivyo ni wajinga ni watu na heshima zao ,au unaona jamaa anakuharibia biashara sidhani kama alikuwa na hilo lengo sababu hakujui nawe humjui
 
Akili ninazo, mimi so dalali bali ni "owner", and i chose kutokuufuata ushauri huu. Nadhani kama una akili utajua ninaongea nini
Mkuu mbn una hasira sana? Biashara haitaki hasira hata kidogo hao unaowaona sio serious buyers ndio buyers wenyewe mtu anayetaka kununua kitu kwako lazima akuchallange nimeshawahi kuuza gari yangu aina ya prado humu humu jf walikuwa wananiita mimi ni dalali but at the end of the day yule niliyemuuzia alikubali ile gari ilikuwa ni yangu baada ya kumkabidhi kadi ya gari yenye jina langu,sasa wewe unakuwa mkali huku unataka hao hao wanunue hiyo nyumba yako, mkuu biashara huwa haiendi hivyo coz hapa jf watu wana maudhi balaa lakini ndio wanunuzi hao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom