Son Of Almighty
Senior Member
- Jun 28, 2017
- 123
- 428
Nyumba nzuri inauzwa Sengerema - Mwanza, eneo Ibisabageni bei 35mil.
Kiwanja kina ukubwa wa 450sqm
Kiwanja kimezungushiwa fensi na geti
Kuna kisima kimejengwa na kinatunza maji
Kuna tanki la lita 1000
Nyumba ina vyumba 3, kimoja Master
Sebule kubwa
Dining room
Jiko
Public Toilet ndani
Nyumba ina tiles yote
Nyumba ina gypsum board yote
Madirisha yote ni ya Alluminium
Umeme upo, na kuna unit 800
Maji yapo, bomba lipo.
Kwa mawasiliano 0624 167 441
Bei imeshuka 34m - maongezi yapo
Mmiliki ni mimi mwenyewe
Karibuni
Kiwanja kina ukubwa wa 450sqm
Kiwanja kimezungushiwa fensi na geti
Kuna kisima kimejengwa na kinatunza maji
Kuna tanki la lita 1000
Nyumba ina vyumba 3, kimoja Master
Sebule kubwa
Dining room
Jiko
Public Toilet ndani
Nyumba ina tiles yote
Nyumba ina gypsum board yote
Madirisha yote ni ya Alluminium
Umeme upo, na kuna unit 800
Maji yapo, bomba lipo.
Kwa mawasiliano 0624 167 441
Bei imeshuka 34m - maongezi yapo
Mmiliki ni mimi mwenyewe
Karibuni