leonard ngobole
Member
- Jun 11, 2011
- 83
- 49
Hapo NI kurudi sitimbi Tu hamna namnaTayari mjasiriamali mwenzetu mipango imepiga negative profit, huku anagugumia hasara ya biashara huku wenye benki hawaelewi somo wanamuuzia makazi. Never say Never
Hapana Mkuu anaendeleza mapambano ajiwekee miaka 4 mbele anarudi online. Kwenda sitimbi kama sio sehemu anapopatia kipato chako ni kwenda kujizika kabisa. Asikubali kujizikaHapo NI kurudi sitimbi Tu hamna namna
Kivipi mtani??Hizi mali za minada zinakuwaga na shida sana
Zinakuwaga na shida kiroho. Alijenga ama alinunua gari ama chochote.. Akaenda bank kukopa akaweka hiyo mali kaka dhamana...Kivipi mtani??
Wamepanda viwango.. Ila ACCESS bank sitakaa niwasahau wana laana za wengiSelcom bank ndio Selcom Pesa?
Wamesema inazungumzikaHii inabidi ishuke hadi 20 au ikizidi sana 23. Imebanana sana, inataka finishing nje na ndani, plus ni nje ya mji so kibiashara ni 50/50 possibly itafaa lakini zaidi ni ya kuwa kwaajiri ya makazi tu.
Tushtuane ndg kabla nami sijalia maana juzi nimeanza kutumia selcom pesa na ile kadi yaoWamepanda viwango.. Ila ACCESS bank sitakaa niwasahau wana laana za wengi
Pengine watakuwa wana mbinu na mikakati mipya Ila nashauri nenda nao kwa uangalifuTushtuane ndg kabla nami sijalia maana juzi nimeanza kutumia selcom pesa na ile kadi yao
karibu kama uanaitaka bosiChanika ,mmh ukiwa na usafiri safi
Yeah,nimeanzia kuzungumzia huku huku JF tukikutana ni kumaliza tu biashara ๐Wamesema inazungumzika
NotedZinakuwaga na shida kiroho. Alijenga ama alinunua gari ama chochote.. Akaenda bank kukopa akaweka hiyo mali kaka dhamana...
Kwasababu zozote zile mkopo ukashindikana kurudishwa mali ikapigwa mnada.. Kuna roho la nguvu hasi hapo ukiinunua hiyo mali usipokuwa makini linakuingia wewe
BTW hii ni biashara ya mtu tusiiharibu na haya mambo hapa..