Nyumba ya vyumba 10 (kumi) iliyomaliza kujengwa mwaka jana inauzwa. Ipo..Kata : Msongola, Mtaa:Yangeyange, Wilaya: Ilala, Mkoa: Dar Es Salaam, Ina umeme, upatikanaji wa maji, ipo kilomita chache kutoka barabarani, ina eneo la wazi kubwa mbele na nyuma. Pia Ina Leseni ya Makazi. Bei ni Tsh 90,000,000/- (milioni tisini). For interested buyers tuwasiliane kwa namba zifutazo:
Tigo - 0654 743 825, Voda - 0767 633 968, Airtel - 0686 936 444
Tigo - 0654 743 825, Voda - 0767 633 968, Airtel - 0686 936 444