Nyumba inauzwa msasani macho

Nyumba inauzwa msasani macho

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,073
Reaction score
1,563
Habari maboss

Nyumba inauzwa Msasani karibu na kituo cha standi ya daladala.
Kituo kinautwa macho bila Shaka ni standi maarufu sana msasani.

Nyumba inaangalia barabara ya Lami.

Kiwanja cha nyumba ni skwata.
Hakuna mgogoro wowote

Bei ni milion 500
Kwa maongezi ya Bei utaongea na wenye nyumba.

Nipigie simu 0754693556
 
Hivi kwanini nyumba nyingi zinauzwa bei kubwa mara 3 ya uhalisia hasa goba. Mbezi kimara na.madale .
Kwanini watu wanauza sana huko. Hivi goba kuna hadhi hasa na.vile vichuguu
 
Hivi kwanini nyumba nyingi zinauzwa bei kubwa mara 3 ya uhalisia hasa goba. Mbezi kimara na.madale .
Kwanini watu wanauza sana huko. Hivi goba kuna hadhi hasa na.vile vichuguu
Thamani ya eneo+gharama za ujenzi+thamani ya shilingi (mfumuko wa bei)
 
Mkuu hii nyu
Habari maboss

Nyumba inauzwa Msasani karibu na kituo cha standi ya daladala.
Kituo kinautwa macho bila Shaka ni standi maarufu sana msasani.

Nyumba inaangalia barabara ya Lami.

Kiwanja cha nyumba ni skwata.
Hakuna mgogoro wowote

Bei ni milion 500
Kwa maongezi ya Bei utaongea na wenye nyumba.

Nipigie simu 0754693556
Mkuu leo ndio nimeona nyumba ya rangi nyeusi full nje na ndani. Uliwaza nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom