Nafikiri hauko sawa katika mausala ya size ya viwanja, plot ya 164sqm huwezi kujenga nyumba ya vyumba vitatu na kubakiawa na uwanja hata wa kupaki vespa. chukua mfano viwanja vya Sinza vingi ni high density 15X25 = 375sq. Sasa icho cha 164sqm hambacho hata akifikii nusu ya 375 kikoje? Nafikiri amekosea itakua 1640sqm na kama kweli kina size 164spm icho kitakua maeneo ya squater na akitambuliwi na wizara ya ardhi. Wizara husika hakiwezi kutoa hati ya size iyo. Minimumu ni high density 350sqm na kuendelea mpaka 700sqm, na kuendelea na midium na low density.