Nyumba inauzwa kitunda-kivule bado mpya

Nyumba inauzwa kitunda-kivule bado mpya

tutakaribia ila ni kivule maeneo gani[/QUOTE


Ukonga banana,kabla hujafika hujafika jengo la Aviation, Kuna barabara inaelekea huko..

Karibu sana,contact ziko hapo kama siku unakuja kuona tunawasiliana tu..

Ahsante.
 
Bahati mbaya mi nna mil kumi tu. Najua ww sio km machinga ambao wanaanzia na elfu 20 lkn anashuka mpaka elfu2. Ctanii hiyo mil 10 ipo cash. 0713517966
 
Bahati mbaya mi nna mil kumi tu. Najua ww sio km machinga ambao wanaanzia na elfu 20 lkn anashuka mpaka elfu2. Ctanii hiyo mil 10 ipo cash. 0713517966

Duh.Mkuu we ni Mchumi nin? Maana hyo counter offer ni hatari..
Fanya hyo 10mil + 23mil tufanye biashara.
Karib sana.
 
Napenda kuwajulisha wanna jf kua nyumba bado ipo .....KAribuni sana..!
 
Plot ilimo nyumba ina ukubwa gani? yaani squre meter ngapi? na urefu ni meter ngapi na upana meter ngapi? Je plot ina hati?
 
Mkuu kwa 25 je?

Ndugu uko mbal kidogo,kama unavyojua gharama za ujenz na nyumba INA mwaka tu tangu nijenge,
ongeza nguvu Mkuu.nyumba safi unamalizia mapambo machache tu kama rangi na kuhamia
 
Ndugu uko mbal kidogo,kama unavyojua gharama za ujenz na nyumba INA mwaka tu tangu nijenge,
ongeza nguvu Mkuu.nyumba safi unamalizia mapambo machache tu kama rangi na kuhamia

Duh bas kaka uwezo wang ulikua hapo aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom