Nyumba inauzwa kitunda-kivule bado mpya

Nyumba inauzwa kitunda-kivule bado mpya

frnk

Senior Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
160
Reaction score
12
Habari wana JF.
Nauza nyumba yangu,ina vyumba 3 ambapo kimoja ni master bedroom,sitting room,dinning room,kitchen na public toilet, pia ina gypsum kote,.
Nyumba imekamilika mtu anaweza hamia kabisa,
Ina miez mitano tangu kuijenga, pia ina eneo kubwa sana la kuweza uzio pia na kujenga tena na nafas ikabaki.
Ina ramani ya kisasa, ipo Kivule mwisho karibu na shule ya kananura sec, na ipo karibu na kituo cha daladala, pia gari inafika hadi kwenye nyumba

Pia baada ya kupata ushauri kwa wana JF wengine na kuzingatia shida niliyonayo na muda,Nyumba ninauza Mil 38 name maelewano yapo kidogo
Contact : 0754601754. Karibuni sana. 100_1535.JPG 100_1536.JPG 100_1536.JPG
 
Ndugu zangu wana JF, nimeweka picha tayari.
 
Habari wana JF.
Nauza nyumba yangu,ina vyumba 3 ambapo kimoja ni master bedroom,sitting room,dinning room,kitchen na public toilet, pia ina gypsum kote,bado tu kuweka tyres.
Nyumba imekamilika mtu anaweza hamia kabisa,
Ina miez mitano tangu kuijenga, pia ina eneo kubwa sana la kuweza uzio pia na kujenga tena na nafas ikabaki.
Ina ramani ya kisasa, ipo Kivule mwisho karibu na shule ya kananura sec, na ipo karibu na kituo cha daladala, pia gari inafika hadi ndani.

Bei naanzia Tsh. million 38 pia maelewano yapo kidogo.
Nimeamua kuuza kwa sababu kupata shida kiuchumi,. Contact : 0754601754 & 0759196143. Karibuni sana.View attachment 110201View attachment 110202View attachment 110202

Sawa. Lakini hili ni banda. Nyumba zimejengwa masaki, mikocheni, tegeta, mbweni,ununio, mbezi beach, na bunju.

 
ukifika ukonga-banana mkono wa kushoto ndio kuna barabara ya kwenda kivulna daladala zinapatikana hapo banana.
 
Kweli uko sawa mkuu, kulingana na eneo husika..Ahsante.
 
Ndugu yangu frnk, miezi mitano iliyopita ulikuwa very liquid ukaanza ujenzi haraka mpaka kufikia hapo, leo unasema una tatizo la kiuchumi unauza nyumba? Unajuwaje ya kesho? Labda ungesema una biashara inayolipa zaidi umeamua kuwekeza huko. Hiyo shida yako kwa nini usiikopee kwa kuweka rehani nyumba hii, kwa sababu inaonekana huko mbeleni unaweza pata tena fedha kama ulizopata hizi za kujengea.
 
Sawa. Lakini hili ni banda. Nyumba zimejengwa masaki, mikocheni, tegeta, mbweni,ununio, mbezi beach, na bunju.

Mkuu hizo ni dharau, katika maisha sio nzuri, kuwa makini na koment zako , Kwa taarifa yako Kuna nyumba nyingi nzuri sana zimejengwa maeneo tofauti na uliyoyataja, wewe bado unamtazamo wa kizamani sana, nakushauri uwe na utaratibu wa kutembelea maeneo mbalimbali ili upanue fikra zako ambazo naziona ni finyu sana.
 
Duh hii nyumba kuboko! Ina hadi magurudumu!

Unajua hata mimi nimeshangaa anataka kuweka matairi ya nini sasa kwenye nyumba! Kama yupo serious inabidi aweke tairi kama za Katapila maana zile zitahimili kidogo uzito wa hiyo nyumba. Otherwise anaweza kuni PM ili nimshauri zaidi kuhusu matairi mazuri ya kuweka.
 
Asante sana Ndugu kwa ushauri mzuri,Nitawasiliana nawe Pm.
 
Mkuu sijakadilia exactly ni km ngapi ila si mbali sana...Karibuni Nyumba bado ipo
 
Nyumba bado ipo nakaribisha sana wateja discount ipo..tuwasiliane kwa contact zangu...
 

wabongo kwa bwebwe kwaiyo ukifa unazikwa nayo uko mbezi beach,masaki, mikocheni,ununio tegeta,masaki,na bunj

[/QUOTE]
 
nyumba imetulia.jamani huko kivule ndio wapi?

Huko ni kwa akina Mwita Malanya,mayai ya kuku bwelele,da nyumba poa,ila kwa wengine huko tunaweza kuita ni ''kushoto''saa hizi uelekeo wetu ni kule kutakako jengwa bandari mpya,kwa babu zake Ritz 1,pia nahisi hilo eneo ni Mtera
 
Habari Wana jamii.. Nyumba bado ipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom