sijawahi kuamini kwenye hii siasa ya ujenzi wa ubia wa namna kama hiyo, yani nyumba yenyewe ya urithi badala ya kutia bei mukagawana mnjaiingiza kwenye mambo ya ubia muje kukorogana mbeleni.
Kwa muekezaji kwake hua sio hasara, mana pengine angelihitaji kutumia 5 b kwa full project lakini atatumia 2.5 na zitakazobakia atatumia kwa uekezaji mwengine. Lakini kwa wewe mmiliki na akili zako za kimaskini ni kujizonga tu.
Kuna rafiki yangu mmoja waliwahi kuingia kwenye huo mtego huku vichwa vyao vikibeba mzigo wa sifa za kijinga kuwa wao hawawezi hama mjini, mwisho wa siku wameishia kupigana ndumba kwa kugombeana hela ya kodi za milango.