Nyumba inauzwa ipo Tabata

Nyumba inauzwa ipo Tabata

fe9b5984682d233728b48426ed24bb12.jpg
 
Nyumba inauzwa ipo tabata baracuda
~Ina vyumba vitatu kimoja ni master
~Sebule
~Store
~Jiko
Bei mil 75

Nb; Nyumba ni mpya
00a02b9a0b126d7703126811fd15b158.jpg
cd5cc6322aab957dce72fe66a36e4067.jpg
1ad254928fb60e7b3c0c4bdb896f3ff0.jpg
4f8f792f438e865f192bca99837d21b3.jpg
95583e7744a881066cb7e93a555c68a8.jpg
Wee ni dalali unataka uza nyumba ya mtu?? Mbona picha za wizi hizi?? Picha za ndani vipi??
 
Wee ni dalali unataka uza nyumba ya mtu?? Mbona picha za wizi hizi?? Picha za ndani vipi??
Mkuu tujaribu kuheshimiana japo kidogo naamini sijakukera kwa lolote, nyumba ni ya ndugu yangu nilituma picha za nje alafu nilisafiri baada ya kurudi nimetuma picha za ndani nyingi tu na bado kuna watu walinipigia simu walikuja kuiona nyumba wakashindwana bei
Sasa kuniita dalali au kunambia picha za wizi nashindwa kukuelewa
 
Sababu za kuiuza???
Mwanzo mlitaka picha za ndani nimetuma, mwenyewe kaamua kuuza nyumba yake na ndio biashara zake anajenga na kuuza
Ukitaka njoo uione nyumba na uongee na mwenyewe
Kama una nia lakini kama hauna nia kaa kimya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom