Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,240
- 850
- Thread starter
- #41
Ni bomoa bomoa kwa sababu Reli inapitia hapoSababu za kuiuza???
Duh!!Ni bomoa bomoa kwa sababu Reli inapitia hapo
Wee ni dalali unataka uza nyumba ya mtu?? Mbona picha za wizi hizi?? Picha za ndani vipi??Nyumba inauzwa ipo tabata baracuda
~Ina vyumba vitatu kimoja ni master
~Sebule
~Store
~Jiko
Bei mil 75
Nb; Nyumba ni mpya![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu tujaribu kuheshimiana japo kidogo naamini sijakukera kwa lolote, nyumba ni ya ndugu yangu nilituma picha za nje alafu nilisafiri baada ya kurudi nimetuma picha za ndani nyingi tu na bado kuna watu walinipigia simu walikuja kuiona nyumba wakashindwana beiWee ni dalali unataka uza nyumba ya mtu?? Mbona picha za wizi hizi?? Picha za ndani vipi??
Mkuu wewe ni mgeni dar? Tabata baracuda kuna reli?Ni bomoa bomoa kwa sababu Reli inapitia hapo
Mwanzo mlitaka picha za ndani nimetuma, mwenyewe kaamua kuuza nyumba yake na ndio biashara zake anajenga na kuuzaSababu za kuiuza???