Nyumba inauzwa, iko Magomeni

Nyumba inauzwa, iko Magomeni

weka picha

Jamaniii eeeee mimi picha siweki naludia tena siweki picha anaye taka tuwasiliane kwa namba niloweka ata pelekwa akaione nyumba live bila chenga
 
Jamaniii eeeee mimi picha siweki naludia tena siweki picha anaye taka tuwasiliane kwa namba niloweka ata pelekwa akaione nyumba live bila chenga

Kama huweki picha baki na mgofu wako...

Nani anapenda kuingizwa mkenge na mlugaluga??
 
Unapotangaza biashara unaweka info zote. Sasa wewe swali la msingi tu eti kawaulize wanaoiuza. Delete message yako halafu rudi utakapokuwa na habari sahihi. Yaani Wabongo sisi ubabaishaji in everything!
NJOOO INBOX MKUU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom