elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,734









nyumba inauzwa boko madukani. Ina hati na kiwannja kimepimwa, ina vyumba vinne, kimoja master bedroom chenye balcon, ina choo na bafu ya public kwa ndani, jiko, dinning room na sebule kubwa, ina jiko la nje , store na chumba cha ziada pia ina parking kwa ajili ya gari 3, imezubuiwa ukuta na ina uwanja mpana. bei Tshs 200,000,000/=. Kwa mawasiliano piga 0717 354243/0658442298