Nyumba inapangishwa

Nyumba inapangishwa

davor

Member
Joined
Jul 28, 2014
Posts
71
Reaction score
13
oya nna upande wa nyuma mzuri sana upo buguruni njia panda ya ghana maji umeme vinapatika stand ni dk 5 tu unafika naitaji wanafunzi 10 tu ni rahisi kufika udsm au duce kila mwanafunzi atalipia 40000 tu..maswali 0713 122177
 
Hebu eleza vizuri ni nyumba au hostel?Kuna vyumba vingapi?Wastani wa chumba kuaccomodate watu wangapi.Huo umeme na maji tutalipia pia au ndio hiyo hiyo kodi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom